Thursday, March 31, 2011

Esther Wahome achaguliwa kua mwakilishi wa Uniliver Compay


Esther Wahome
Mwanamuziki wa nyimbo za injiri nchini Kenya Esther wahome amefanikiwa kupata mkataba wa mamillioni ya kikenya toka katika kampuni ya Uniliver inayotengeneza bidhaa mbalimbali za kufanyia usafi zikiwemo sabuni za Omo na Lifebuoy. Wahome atakua akifanya kazi kama balozi wa sabuni ya LIFEBUOY inayoendesha kampeni ya kuwaelimisha watoto wa shule juu ya umuhimu wa usafi kaika maisha yao ya kila siku. Kwa mujibu wa Uniliver kampeni hiyo chini ya Wahome ni ya mwaka mmoja na itazihushisha shule zipatazo themanini katika jiji la Nairobi na viunga vingine nchini humo. 

Hii ni changamoto kwa wanamuziki wa injili nchini Tanzania na afrika mashariki kwa ujumla badala ya kusubiri kuitwa kwenye matamasha ambako wanakutana na watu waliookoka kwa sehemu kubwa, pia wanaweza kuandaa mpango kazi(Proposals) kwa ajili ya jamii na wakaweza kuifikia jamii kupitia washikadau wenye nia ya kufadhili mipango kazi hiyo.

Moja kati ya matangazo ambayo Esther ameanza kuyafanya kama sehemu ya mkataba wake na kampuni ya Uniliver
                                      

Uzinduzi wa video ya Miriam Lukindo iitwayo Ni Asubuhi

MWIMBAJI  wa nyimbo za Injili nchini, Miriam Lukindo, ametabulisha video ya albamu yake mpya  ijulikanayo kama “Ni Asubuhi” kwa baadhi ya viongozi wa serikali na wabunge katika ukumbi wa Blue Pearl, jijini Dar es Salaam. Uzinduzi RASMI wa video hiyo utafanyika tarehe 10 Aprili mwaka huu kwenye ukumbi wa Diamond, pia jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa viongozi waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, aliyekuwa mgeni rasmi.

Miriam Lukindo Mauki
Sehemu ya umati uliohuzuria uzinduzi wa video hiyo
Mh Viky Kamata akifuatilia uzinduzi huo
Mama Edina Lowassa akipata chakula na kushoto kwake ni Miriam Lukindo
                                                                               

Tuesday, March 29, 2011

WHOSE PROPHECY ARE YOU FULFILLING

Only GOD can Fulfill his prophecy
Have you ever met somebody before you met them? This is what I mean, have you ever heard about somebody from either friends or family and by the time you actually meet them physically, you already have an opinion of them based on what you have been told about them.
That has happened to me a lot and sometimes what I had been told and what I see are totally different things. I discover that my opinion of this individual is totally different from what I had been told about them. Everyone has their own opinion of what kind of a person you are. To some you are a good person while in some peoples opinion, you are not all that!

Matthew 16:13-17
When Jesus and his disciples were near the town of Caesarea Philippi, he asked them, "What do people say about the Son of Man?"
The disciples answered, "Some people say you are John the Baptist or maybe Elijah or Jeremiah or some other prophet."
Then Jesus asked them, "But who do you say I am?"
Simon Peter spoke up, "You are the Messiah, the Son of the living God."
Jesus told him: Simon, son of Jonah, you are blessed! You didn't discover this on your own. It was shown to you by my Father in heaven

Jesus faces the same issue. People had an opinion of what His identity was. To some He was just a prophet. To Others He was the carpenter’s son while to others He was Elijah come back from the dead. Peter on the other hand Had Gods opinion of who Jesus was, because Jesus tells Him that flesh and blood has not revealed that to him but God in heaven.
That tells me that no matter how good I am, people will always have varied opinions of who I am. God also has an opinion of who I am and since He is the one who created me, it makes more sense to take His opinion because He is my maker and He knows what He put in me.

The question is, whose prophesy are you fulfilling? Of the opinions you have heard about who you are, which one are you living out? The devil also has an opinion of who you are and he will not hesitate to keep whispering in your ear what he thinks about you. God on the other hand has written a book to let you know what He made you to be and what you are to achieve.

The surprising thing is that we are more inclined to believe the negative things that are said about us. You can have 10 people compliment you on what a good job you are doing, and then one person says you are good for nothing and that one statement is what sticks with you and soon enough you believe it and you live it forgetting that 10 people said you are doing great.
When you look at your life, whose prophesy are you fulfilling? Are you living your life according to what God has said about you? Is His prophesy over your life the reality you are living or have you been fulfilling the devils prophesy over your live?
Do you know who your maker says you are? Read the word and find out what Gods opinion of you is find your identity in Him and then begin to fulfill His prophesy over your life

Calvary Temple

LADIES NIGHT AT SAINT AUGUSTINE UNIV

Last Friday on 25th March 2011 at Saint Augustine University they had a ladies Night which were engineered by Tafes Saut. It was unique Night for all ladies under the theme “THE WOMAN THAT THE WORLD IS IN SEACH FOR”. The whole night was guided by three major topics.       
1. The position of a woman  2. Overcoming Disappointments and  3. Why heartbreaks in relationships
It was the first powerful night for all ladies at Saut which has ever happened. Powerful presentations from different speakers, exchanging ideas among ladies, Questions and answers plus Praise and worship are among of the things which caloured  the Night.

Ladies they had a good time to Praise and Worship GOD
The First sixteen ladies to confirm that they will attend to that Night, All of them they got an opportunity to partake a cake of the event
Part of the Ladies Congregation
From left is Pastor Goodluck Kyala and his wife, Pastr Goodluck was one among of the speakers.
Pastor Nyachi Cecilia moderating the Topic Why heartbreaks in relationship
Candles during that night presented the reality that Ladies are the Light for the Nation and the World,since are the pillars for the comming generation
Behind any Successful woman there is a Man.These brothers where there to play music instruments for the Whole event
                                                     

Sunday, March 27, 2011

NJAA HUNYIMA UHURU WA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI

Mara nyingi unapokua katika uhitaji sana wa jambo Fulani, usipokua makini unaweza kujikuta umefanya jambo ambalo hukulitarajia ilimradi tu ufikie lengo ulilolihitaji.Njaa haina ustarabu, ukiwa na njaa ni lazima upime kila wazo linalokuja akilini mwako kabla hujaamua kitu cha kufanya ili usijelamba shubili ukiamini ni choklate. Hii ni kwa kua Biblia inasema katika Mithali 27:7 Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali, bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kua kitamu.
Maamuzi yoyote huanzisha safari
Leo hili kuna wasomi wengi walioko maofisini lakini ukiwauliza wamepataje kazi hawawezi kusema, kwa kua walipokaa mtaani na digrii kwa miaka kadhaa bila kazi wakibaki nyumbani wakiangalia Tv na kufanya harakati nyingine, au waliingia  katika kufanya kazi zisizo za Professional yao huku wakinyanyasika na kudharauliwa. Mwishoni wakiona kazi imetangazwa na wanaihitaji kwa dhati, ifikapo hapa huwa radhi kufanya lolote watakaloambiwa hata kama liko kinyume na Biblia ilimradi tu kazi ipatikane. Hii ni kwa kua njaa humnyima mtu uhuru wa kufanya jambo kwa usahihi pasipo madhara hapo baadaye. Na tunapokutana kanisani ni mwendo wa mapambio pamoja na  kusifu na kuabudu tukiamini flani kapata kazi kwa kuwa Bwana ametenda ila ukweli unabaki kwa mhusika kwa kua ajuaye mkizi alipo ni mvuvi.

Kuna watu wengi leo wanatafuta uponyaji wa Magonjwa walio nayo,na yamepelekea kupoteza pesa zao nyingi huku wakifanya mambo mbalimbali ilimradi wapone. Kulingana na utandawazi siku hizi ni jambo la kawaida kusikia watumishi wanalipisha pesa kama unataka kupona Kiharusi, Kansa au gonjwa lolote sugu toa kwanza Gari lako , kiwanja au kiasi Fulani cha pesa ili upone na watu wamekua wakifanya. 

Ufahamu wa kujua  Biblia inasema nini juu ya uponyaji palipo na njaa huwekwa kando, kupona kwanza ndiyo kauli mbiu. Kila mtu kwa sehemu kwa kua tunaishi chini ya jua huingia katika hatua hiyo, na wengi waliofanikiwa katika Mungu ni wale waliofanya maamuzi Mazuri pindi wakiwa na njaa. Mara  nyingi tunapokua na uhitaji mkubwa sana wa kufanya jambo hasa linalohusu hatima yetu ya kesho tunatofautinana namna ya kuivumilia njaa tunayopitanayo muda huo na namna ya kuziweka presha zote pembeni na kurudi kwa Mungu na kutafuta usahihi. Wakati huo ni wakati ambapo unaweza kutengeneza tatizo kubwa zaidi kuliko tatizo lililopo.   

Utulivu wa kimungu katika Maamuzi huitajika kabla ya kula kiapo
Ibrahimu wakati anataka kutoa fungu la kumi jiulize kwa nini aliamua kuipeleka kwa Modekai na sio kwa Mwingine?, na huwezi niambia Taifa zima kuhani alikua Modekai pekee!!.Sasa kwa jiulize kwa nini afanye uamuzi wa kwenda kwa Modekai? Kimsingi Ibrahimu alitaka kumtolea Mungu na ndani yake hiyo ndiyo ilikua kiu kubwa. Mbele yake alitakiwa afanye maamuzi ni nani anastahili kupokea hiyo sadaka. Alipotulia na kurudi kwa MUNGU alipata madhabahu ya kupeleka na Mungu AKAIRIDHIA. Jiulize angekosea) madhabahu (asingeipeleka kwa Modekai) ina maana angekua amepoteza zile nguvu za kuitafuta hiyo sadaka kwa kua aliitolea jasho hivyo hakuipata bure, pia angepoteza ule muda aliotumia kuitafuta. 

Ili Ibrahimu amkute tena Mungu na sadaka yake kama angekosea ingemgharimu kwanza kuitafuta tena hiyo sadaka kwa jasho, akishaipata aingie tena kwenye uwanja mwingine mpya(sio ule wa akina Modekai kwa kua ulishapita) na afanye maamuzi sahihi katika Mungu ndipo MUNGU aipokee sadaka hiyo kama alivyoipokea kupitia Modekai. Hivyo unaweza kuona jinsi maamuzi sahihi ya Ibrahimu yalivyofupisha huo mlolongo. Musa kwa Hasira alipozivunja zile amri kumi hakua na namna, ilimbidi arudi kwa Mungu siku arobaini tena na kuzileta

Maamuzi yanayofanywa wakati unanjaa ni sawa na kutembea katikati ya jiji huku ukiwa umevaa kiatu kinachokubana sana mguuni. Hamu ya kuendelea na safari hua inakua ndogo, Furaha moyoni na tabasamu usoni hupungua kwa kua kiatu kinasumbua. Utakumbuka mambo mazuri yaliyowahi kutokea kwenye maisha yako baada ya dakika mbili akili itakurudisha kwenye kiatu, utakumbuka wajibu Fulani ulionao siku hiyo au zijazo kisha akili itasema kiatu! Kiatu! Kiatu!. Ikifika hapo usishangae kuona mtu akiweka viatu kwenye begi na kunuua ndala. Hatojali watu watamuangaliaje pindi wakimuona na Suti kali chini ndala. Baada ya kiatu kutoka ataona sherehe its fyn mno, bali utata huanza pindi safari mpya na ndala itakaposhika kasi.

2Falme 1. Tunamuona mfalme Ahazia aliyerithi kiti baada ya ya kufa kwa Ahabu, Biblia inaeleza vizuri baada ya Ahazia kuanguka katika dirisha lake alipokua Orofani alitafuta namna ya kuweza kujua atapona au atakufa. Kwake yeye hofu ilimjaa madaraka aliyataka na ugonjwa ukapoteza raha yote ya utawala. Katika njia panda hii alifanya maamuzi ya kwenda kuuliza hatima yake kwa Baal-zebubu mungu wa ekloni na sio JEHOVA. Maamuzi mabaya aliyoyafanya Ahazia wakatiwa shida hiyo yalipelekea Mungu amtangazie mauti kupitia mtumishi wake Eliya .Kwa hali ya kawaida unaweza kumshangaa Ahazia lakini ukiingia uwanjani kwa staili yako na kwa vipimo vyako usipokaa sawasawa na Mungu utajikuta unaingia kwenye mkondo wa Ahazia. 

Utulivu katika MUNGU huitajika katika kufanya maamuzi yanayogusa hatima ya Mwanadamu
Kuna watu leo wako kwenye ndoa na ndoa zao zimekua kifungo na sio Baraka kwao, matumaini ya kupata furaha, amani na utulivu ndani ya ndoa vimeyeyuka kwa kua baada ya ndoa wakajikuta maamuzi waliyo yafanya wakati wa kumtafuta mwenzi pasipo utulivu yamewaingiza katika majuto. Hii ni kwa kua walisubiri kuoa au kuolewa kwa muda mrefu pasipo tumaini na alipotokea aliyeonyesha dalili kiulaini alikubaliwa  mwisho wa siku mateso. Maamuzi yalifanywa ya kuingia katika ndoa ili kuondoa aibu au upweke matokeo yake yanaongeza aibu,Upweke na hata kuisaliti ndoa yenyewe.

Njaa ya kupata chakula ilimpelekea Lazaro kula sahani moja na mbwa wa mfalme, Lazaro aliweka utu wake kando ilimradi aishibishe nafsi yake hilo ndilo lilikua hitaji kubwa kwa lazaro. Kuna jamaa mmoja yeyea lipomaliza elimu yake ya juu, alifanikiwa kupata kazi iliyokua ikimlipa ujira kidogo. Lakini bada ya muda alisikia tangazo la kazi katika ofisi flani na akafanya application. Mungu ni mwema akafanikiwa kuajiliwa, siku wanaenda kupanga alipwe kiasi gain alitajiwa kiasi na waajili wake. 

Kwa kua kiasi alichoambiwa kuwa atapewa kilionekana ni mara mbili ya kile alichokua akikipata kule alikotoka aliitikia kwa haraka kua its oky. Baada ya siku kadhaa akiwa ameanza kuizoea kazi wakati wa stori mbili tatu ofisini akagungua kua wote wenye elimu kama yake mshahara wao ni mkubwa kuliko wake, alipododosa kwa nini yeye wake uwe chini aliambiwa wakati wamakubaliano bargaining power yako ilikua ndogo, ulikubali kirahisi. Hivyo hakua na jinsi na mkataba kasha sign.

Kiu ya kusikia Neno la Mungu huwapelekea wakristo kula kila kitu kitokacho kwa mtu aliye mbele yao pasipo kuchucha 
Unapokua katika uhitaji fulani kisha ukatakiwa kufanya maamuzi, ni vizuri kuondoa kila aina ya presha wakati unafanya maaamuzi hayo. Utulivu na Biblia inasema nini juu ya hilo eneo ndio viwe vigezo vikuu vya kuyaendea maamuzi hayo. Leo hii MUNGU kaachilia uamsho wa aina yake nchini Tanzania, watu wana kiu ya kumtafuta MUNGU kwa gharama kubwa,Wokovu sio ushamba,umasikini au ujinga tena, wokovu umeanza kuonekana kuwa kitu cha thamani mno, hata ambao hawajaokoa wanautamani wokovu. Leo kuna magazeti mengi,majarida,Tv Programes, tovuti mbalimbali vyote vikitangaza Neno la Mungu nab ado watu kila kukicha wakinatafuta habari za Ufalme waMungu.

Kwa waliomakini na hili wanaona dhahiri katika njaa hii ya Neno wakristo wamekua hawana desturi ya kupembua kati ya Neno la MUNGU na personal Interests za watumishi wa Mungu wanaosimama mbele yao. Wao kwa sababu ya njaa ya Neno wanakula kila kitu. Sasa kimbembe kinakuja pale utake kuwarudisha kwenye mstari lazima patachimbika. Kumbuka nia na lengo la wale wasabato Masalia kutoka Mbeya kutaka kwenda Mashariki ya kati kumuhubiri kristo pasipo viza wala tiketi haikua dhambi, na sio kosa na ni kibiblia kabisa kumtangaza kristo kwa kua ndio agizo kuu tulilonalo leo.Tatizo linakuja wakati wa hiyo njaa ya kumuhubiri kristo, Biblia inasema nini kuhusu taratibu na Mamlaka zilizopo duniani?. Utulivu katika MUNGU ni wa msingi mno kabla ya kufanya uamuzi wowote uliobeba hatima ya maisha ya mwanadamu.


V.Mboya                       

THANKSGIVING NIGHT OF PRAISE AND WORSHIP

Tafes CBE-Mwanza wameandaa usiku maalumu kwa ajili ya kumshukuru MUNGU kwa kupata fursa ya kusoma cbe.Wengi wa wana cbe kwa namna moja au nyingine walikua wamekata tamaa ya kuendelea na Elimu. Hivyo kwa nafasi hiyo Mungu aliyoitoa, kutafanika Tamasha la kusifu na kuabudu kwa ajili ya kumshukuru MUNGU kwa kufungua fursa ya kuendelea na masomo ya cheti, stashahada, na stashahada ya juu uzamili. Yule MUNGU aliyefungua mlango wa kuendelea na masomo,ni yule yule atakayefungua milango kwa ajili ya Digrii ya kwanza ya pili,ya tatu……pamoja na mambo mengine mazuri kwa utukufu wake. Ebenezer

                                                   

Thursday, March 24, 2011

Abundant and Fruitful Christian Life

                         
God has Provided for Us an
 
Abundant and Fruitful Christian Life

Jesus said,
"I came that they might have life, and might have it abundantly" (John 10:10)."I am the vine, you are the branches; he who abides in Me, and I in him, he bears much fruit; for apart from Me you can do nothing" (John 15:5)."But the fruit of the spirit is love, joy, peace, patience, kindness, goodness, faithfulness, gentleness, self-control; against such things there is no law" (Galatians 5:22, 23)."But you shall receive power when the Holy Spirit has come upon you; and shall be My witnesses both in Jerusalem, and in all Judea and Samaria, and even to the remotest part of the earth" (Acts 1:8).

Wednesday, March 23, 2011

KWA NINI MIKUTANO YA INJILI KWA SIKU HIZI HAINA HAMASA KAMA ZAMANI



Mwishoni mwa Miaka ya 1970 na Mwishoni mwa Miaka ya 1980 njia kuu iliyokuwa ikitumika kuwaleta watu kwa Yesu ilikuwa ni Mikutano Ya Injili ya hadhara ambapo watu wengi walimpokea Yesu kupitia mikutano hiyo. Wahubiri wa kizazi hicho, Mzee Emmanuel Lazaro, Mzee Moses Kulola, Mzee Kiwia, Mzee Kuselya a.k.a Toboa Tobo, Mzee Mpayo na Mzee Mwasumbi walikuwa na kazi kubwa ya kueneza neno la Mungu na asilimia kubwa ya watu waliookoka katika zama hizo waliokoka kwenye mikutano ya wahubiri hawa.


Bro Samuel Sasali
Miaka ya 80, ikaanzishwa huduma inaitwa “The Big November Crusades” chini ya Mzee Lutembeka na Mzee Kisondo. Mikutano hii ilikuwa na nguvu sana miaka hiyo. Nakumbuka yika katika maeneo ya Mnazi Mmoja na Jangwani kwa sisi wakazi wa Dar, Wagonjwa walikuwa wanaletwa kutoka Muhimbili na walikuwa wakirudi wamepona. 


Kwa mara ya Kwanza kwenye maisha yangu nakumbuka Mtu aliyekuwa kilema akiitwa Salvatory aliyeombewa na mchungaji George Gichana kutoka Kenya ali maarufu “GG” na kutembea kabisaa, nakumbuka enzi hizo pamoja na Mzee Roy Dama walikuwa wakija Dar-es-Salaam, kila shughuli ilikuwa inasimama na kila mtu akisubiria “The Big November” ili kuona miujiza lakini pia kuona kwaya kuu zilizokuwa zikitamba enzi hizo, Mtoni Lutheran, na wimbo wao wa Lulu, Chini ya Mwl. George Victory Singers na Wimbo wao wa Mchakamchaka, Chini ya Mwalimu Mwalubalile na Revival Singers na wimbo wao uko wapi, chini ya Mwalimu Mackenzie






Miaka ya 90 na Mpaka sasa nimeona kama hii mikutano ya injili ya hadhara imekuwa kama haina matokeo mazuri ama makubwa kuliko katika kizazi kile cha Mwishoni    mwa , 2010 niliamua kutembelea katika baadhi ya mikutano ya injili iliyokuwa inafanyika Dar, nilitembelea pale kabisa la Kibaptisti pale Kinondoni, Kisha nikahudhuria mkutano wa injili pale Biafra,nikahudhuria mkutano wa injili kule maeneo ya Boko Basihaya na mkutano mwingine maeneo ya Sinza na pia KKKT kule Wazo hili Kilichokuwa kinanisukuma kutazama mikutano hii ni kutaka pia kuona mikutano hii inavyoendeshwa, mwitikio wa waumini wenyewe kwenye mikutano hii, na pia mpango mkakati wa kuwatunza hawa wanaoamua kumpa Yesu Maisha yao.
                           
Askofu Moses Kulola moja kati ya wahubiri maarufu waliookoa na kuponya nafsi za wengi kupitia mikutano ya Injili
Mbali na mikutano ya injili, pia nimekuwa nikiwasikiliza watumishi wa Mungu wale wanaohubiri kwenye vituo vya mabasi, pale Posta kuna rafiki yangu huwa anahubiri, mwenge kituoni kuna mpendwa huwa anahubiri, stendi ya mkoa kuwa wanaohubiri na kuna wengine wanakusanya sadaka kabisaaaa kwa ajili ya kupata maomb meona kwenye kuangalia kwangu ni kama ifuatavyo   




Mbali na mikutano ya injili, pia nimekuwa nikiwasikiliza watumishi wa Mungu wale wanaohubiri kwenye vituo vya mabasi, pale Posta kuna rafiki yangu huwa anahubiri, mwenge kituoni kuna mpendwa huwa anahubiri, stendi ya mkoa kuwa wanaohubiri na kuna wengine wanakusanya sadaka kabisaaaa kwa ajili ya kupata maomb meona kwenye kuangalia kwangu ni kama ifuatavyo.

Mamia ya watu wakiwa katika Mkutano wa nje wa Injili
                                                                       
 Mikutano Ya Injili.

1. Waumini wengi (wenyeji) wa mikutano wanapatika siku za Jumamosi na Jumapili, siku za kawaida mikutano huwa na watu wachache na kukosa hamasa ya watu.

2. Mkutano Mingi inayowekwa kwenye viwanja vya makanisa huwa na washirika zaidi kuliko wenye dhambi katika kuhudhuria. Ikifika saa ya kukata shauri muhubiri hutumia muda mrefu wa kuamua kuimba pambiodent:-

3. Wahudumu wengi wa Mikutano wanakuwa hawako well trained kwa ajili ya hiyo kazi, Mfn. Namna ya kukaribisha watu, namna ya kubeba wagonjwa, namna ya kukemea mapepo na pia namna ya kusimama katika kuombea watu, kila Muhubiri ana style yake ya wahudumu kusimama.

4. Mikutano inayofanyikia kama Jangwani, Biafra, Kawe au katika viwanja vya wazi ni ngumu kuwapata wale kondoo wapya kutokana na umbali wa viwanja na makazi ya watu pia.

Wengi wanaohudhuria mikutano hii ni watu wa hali ya chini, wale wasiokuwa na kazi, wafanyakazi wa ndani na wanafunzi. Watu ambao ni wafanyakazi wengi wanatingwa na miundo mbinu ya barabara inapelekea wao kuchelewa kuwasili maeneo ya mikutano

6. Waongofu wapya wengi huwa hawadumu, unaweza kuta waliookoka jumla ni 100, wanaoendelea mpaka sasa ni wawili.

7. Wahubiri wengi wanje wanaongea vizu a lakini ile nguvu ya udhihirisho ni ndogo sana, yaani wagonjwa kupona wengi ni wale wa tumbo, kichwa na maumivu tu. Ila vipofu, vilema na viziwi bado imekuwa utata kuwapata waliofunguka

8. Ile tabia ya watu kukata shauri na kuhamia kwenye “dhehebu” wenye kuhost mkutano imepitwa na wakati. Wengi wanaokoka na kubaki huko huko waliko ambapo imepelekea kupunguza morale ya “kuwavunia” wengine na makanisa kuamua ku-opt “Semina Za Ndani”.

9. Waumini wengi si wepesi wa wenda nao zaidi ya wenyeweji kujazana wenyewe uwanjani


Muinjilisti Reinhard Bonke ni moja kati ya wamishionari walioleta maelfu ya watu kwa kristo kupitia Mikutano ya nje ya Injili


Wahubiri wa Kwenye Vituo Vya Mabasi
  


1. Wengi wa wahubiri hawa hawajaribu kuonesha upendo wa Mungu, ila kuwatuhumu abiria na kuwaogopesha na siku ya mwisho. Nimewahi kumsikia Muhubiri pale Posta akiongelea mavazi na wakati mwingine hata Dowans katikati ya Mahubiri.

2. Muhubiri anapokanza kuhubiri wanaomsikia ni wengine, mpaka ikifik kata shauri ni mara chache mtu akakaa kituo cha basi zaidi ya nusu saa kusikiliza mahubiri kuliko mtu kusikiliza sauti ya konda anapoita abiria

3. Mpango Mzima wa sadaka sijajua kama wale watumishi wanakumbuka kutoa kikumi, maana akichukua kila basi per day ana make inaweza kumfanya akaona ile ndo ajira yake ya kila siku, kuhubiri na kukusanya sadaka

Lazima nikiri kuwa kuhubiri katika hadhara pia ina faida sana kwenye maisha ya waamini, inakujenga na kukupa ujasiri. Kwa sisi ambao tumekuwa bega kwa bega na wazee wetu kwenye mikutano ya injili, lazima tukiri mikutano ya injili ya nje inakujenga kimwili na kiroho na kisaikolojia pia.

Kwa changamoto nilizozitaja kwangu naona mikutano ya injili inahitaji kutazamwa upya kwa maana ya namna tunavyotumia rasilimali tulizonazo, muda, fedha, watu na kila kilichopo. Semina za Kiroho ambazo zimekuwa zikijenga hata wapendwa nimebaini zimekuwa natokeo makubwa kuliko mikutano ambayo Kanisa linatumia gharama kubwa kuliko matunda ya mikutano hii. Nadhani ipo haja ya sisi wadau kusaidia kuliona hili na pia kushauri pale tunapopaswa kushauri                                                                                                                     
Wasalaam,
Samuel Sasali Papaa

 Coments za Watumishi wengine Kuhusu mikutano ya nje ya Injili 

Bro Edmund Mugasha
Kweli mikutano ya nje imepungua na hii mi naona ni kusababishwa na mazingira nikimaanisha mikutano mingi ya zamani ilibase kwenye injili haswa na watu kuokoa, kwasasa mingiimeamiakwenye semina na semina nyingi kufanya na wenyehudumaya kialimu na mitume,pia naona imeamia kwenye majengo ya ndani nikimaanisha makanisa na mahema. 

Kingine naona ni wale wainjilisti wa zamani waliokuwakwenye majukwaa na viwanjani hawakuandaa watu kipindi walichokuwepo ili ikitokea hawapo au kipindi chao cha kazi kumalizika basi gurudumu litabebwa na hao walioachiwa. 

Finally kwangumimi naona ni swala la season kwa sasa Mungu anatumia huduma ya kialimu sana kuwafundisha watu neno badala ya forces za wainjilisti. 

Lakiniinabidi kukutana na wainjilisti hawa wa zamani ni rahisikupata views zao katikahili na pia tazama vijana wa sasa nguvu na upako wakiinjilisti umepoa sana kwao wote wanabase kwenye miracles,unabii na n.k


Annonimus

Kwa mimi nahisî msukumo wa kuendelea na mikutano pia umepungua.
yawezekana ni :
1. kuongezeka waumini makanisa ya wale waliokuwa wanafanya mikutano hii ya injili ya nje.

2. mafundisho ya kiinjilisti yamepungua na hivyo kukosekana kwa wainjilisti wapya kuendeleza kazi.

3. Maendeleo ya kiteknolojia yanayofanya matumizi ya redio na tv kuwa makubwa na hivyo kuwafikia watu wengi zaidi kama vile afanyavyo mzee wa upako, mama lwakatare na kakobe. Hata miziki ya injili inavyozidi kuimarika na kuwafikia watu wengi kubadilisha maisha yao.



                 

HISTORIA YA MWANAMUZIKI WA INJILI EPHRAIM SEKELETI MUTALANGE


Ephraim Sekeleti
Ephraim Sekeleti Mutalange ni muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini Zambia, alizaliwa Mwaka 1983 katika mji wa Kalulushi nchini Zambia. Alimaliza elimu yake ya sekondari katika shule ya Kalulushi mwaka 2001.

Ephraim ni mtoto wa pili toka mwisho kati ya watoto sita, aliingia kwenye muziki wa injili tangu akiwa kinda huku alifundishwa kupiga kinanda na mmishonari alipokuwa bado mdogo. Mama yake anasema  “ Ephraim alikuwa ni mtoto aliyekuwa wa kelele nyingi”. Yeye pamoja na dada zake waliimba kanisani wakitumia kinanda na huko alipata uzoefu katika uimbaji na upigaji wa kinanda. Baadaye alijiendeleza katika uimbaji kwenye kikundi kilichojulikana kwa jina la  “Virtue for Christ” na aliimba katika kikundi hicho kwa muda wa miaka miwili.
Ephraim akiimba katika ibada ya kanisa la redeemed christian nchini Australia
 Mwaka 2002 akiwa na kiu ya kurekodi album yake, Aliamua kujitoa muhanga kwenda Afrika ya Kusini kwa kutumia kiasi kidogo tu cha pesa alichokuwa nacho, nia ilikua ni kurekodi album yake ya kwanza. Pamoja na jitihada hizo, baada ya kufika nchini Afrika ya Kusini alijikuta anaweza kurekodi nyimbo mbili tu kati ya album nzima. Hivyo akaamua kujiingiza katika Theater ya Pretoria na ndipo akapata fursa ya kuimba mbele ya Rais wa Afrika ya Kusini. Nafasi nyingi ziliendelea kujitokeza zilizomsababishia kutaka kuacha kuendelea na muziki wa injili ili aimbe miziki ya kidunia, lakini akawa muaminifu kuendelea na uimbaji wa injili. Mlango ulifunguka kumruhusu kurekodi album ya kwanza iitwayo Temba Baby“(Mtoto wa Miujiza)”.

Baada ya kurekodi, na kuuza nakala za kutosha za album hiyo ya Temba boy, kwa mafanikio ya hiyo kazi Ephraim aliamua kurudi nyumbani kuwekeza ile fedha. aliona awekeze zaidi kwenye ya album yake ya pili iliyopata mafanikio makubwa iliyoitwa Limo Ndanaka. Hi album imefanya vizuri kwenye chati mbalibali za muziki wa injili. Ephraim akiwa nje ya Zambia ameimba katika nchi mbali mbali zikiwemo Namibia, Afrika ya Kusini, Tanzania, Zimbawe na Australia.

Ephraim akiwa na mkewe Faith Mutalange
   
Alisema anafurahi akiona watu wasiokuwa na tumaina la Kristo wakianza kuwa na matumain, Licha ya kufanya muziki wake nchini Zambia amewahi kuja nchini Tanzania na kurekodi album yake nzima kwa Lugha ya Kiswahili. Moja kati ya Nyimbo zake zinazotamba hapa nchini ni pamoja na
Binti wa Ephraim

                                             1. Uniongoze                                 
                                             2. Baraka Zako
                                             3. Huu Mwaka 
 
 Ephraim hajui Kiswahili fasaha na nyimbo zake hizo alifundishwa kuziimba kwa lugha ya Kiswahili na Mchungaji ambaye pia ni muimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Tanzania Ency Mwalukasa. Ephraim amesema ataendelea kuhubiri kwa njia ya uimbaji kwa sababu imempa changamoto zilizomuinua. Licha ya uimbaji Ephraim amefunga ndoa na Faith Chelishe na wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kike

                                                                                                                                                        


Ephraim na Faith
           
     ALBUM YAKE MPYA YA KISWAHILI IITWAYO VIGELEGELE

Wiki iliopita Hosanna Inc ilipata nafasi ya kuwasiliana na Ephraim Sekeleti akiwa Zambia, Alisema kwa sasa yuko katika hatua za Mwisho kukamilisha Album yake mpya itakayoitwa VIGELEGELE. Alisema anatarajia atakapokuja chini kwa ajili ya Tamasha la Pasaka atakuja nayo ikiwa imekamilika 

                               Moja kati ya kazi za Ephraim                                      

Monday, March 21, 2011

OBEDIENCE IN THE MIDST OF PAIN.

How we admire the obedience a dog shows to its master! Archibald Rutledge wrote that one day he met a man whose dog had just been killed in a forest fire. Heartbroken, the man explained to Rutledge how it happened. Because he worked out-of-doors, he often took his dog with him. That morning, he left the animal in a clearing and gave him a command to stay and watch his lunch bucket while he went into the forest. His faithful friend understood, for that's exactly what he did. Then a fire started in the woods, and soon the blaze spread to the spot where the dog had been left. But he didn't move. He stayed right where he was, in perfect obedience to his master's word. With tearful eyes, the dog's owner said, "I always had to be careful what I told him to do, because I knew he would do it." 
Obedience and Tolerance are the catalysts of prosperity
 
Our Daily Bread.
One of the many misconceptions we have is that as long as we are born again and we are doing the will of God, then He will not allow us to go through pain and hardship. We equate pain and hardship as a sign that the Good Lord has rejected us or that we have done something that has not pleased Him but that is not necessarily the case.
Jesus is our perfect example. He was without sin and in the perfect will of God the father yet he went through so much pain which led to His death. He was obedient even unto death.
Philippians 2:8
And after He had appeared in human form, He abased {and} humbled Himself [still further] and carried His obedience to the extreme of death, even the death of the cross!
Because we are using Jesus as an example many may say that He had it easier because He is the son of God. Just like us, He had a choice to obey or not to obey. We see Him struggling in the garden just before he went to the cross.

Luke 22:42

"Father, if you are willing, please take this cup of suffering away from me. Yet I want your will to be done, not mine."
If it were up to Him at that point, He would have chosen another way but Gods way was for Jesus to go through the pain and eventually die so that you and i can be saved.

Have you been struggling to obey Gods will in your life because it leads down the road of pain and hurt? One thing i know is this, it is not in vain to walk the road of obedience to God when it leads to pain because after the pain, the Lord will exalt you. Jesus was exalted because he obeyed even in the midst of pain. Joseph, job and many other servants of God who stayed obedient in the midst of pain and rejection were also exalted.

Stay faithful to His will even in the midst of pain anguish and rejection, He remains faithful!

Calvary Tample -Arusha

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...