Sunday, October 30, 2011

Sunday Sermon: Understanding the Anointing: Keneth Hagin


“The Anointing” is a term that is often discussed in religious meetings, but for many Christians it remains a mysterious concept that only happens to certain “special” people. Understanding the Anointing explains the various ways in which people may be anointed, from the individual anointing that abides within all believers to the anointings for various offices and the corporate anointing that brings manifestations of the glory of God. This book answers many of the questions that surround this interesting topic with Scripture and illustrates those answers with personal experiences.

Keneth Hagin

  • Section I: The Individual Anointing
1.     The Anointing on Jesus — Jesus ministered as a man anointed by the Holy Spirit. He functioned in all five of the ministry gifts and serves as our example in each one.
2.     The Anointing Within — We have an individual anointing of the Holy Spirit that abides in each one of us because He comes to live in us when we are born again. That anointing will teach us and guide us into all truth.
3.     How the Anointing Led Me — An example of the Holy Spirit teaching and guiding into the things of God.
4.     Ministering Healing Without an Anointing — A believer may act on the Word of God and see results when the personal anointing of the new birth has led him into that revelation.
  • Section II: Anointing on Ministry Gifts
5.     The Fivefold Ministry Gifts — The anointing to function in a ministry office is different than the anointing that abides within every believer. If we will excel where our anointing is, we will be a greater blessing to the body of Christ.
6.     The Anointing to Preach — There is a greater power in preaching that is done under the anointing to preach.
7.     The Anointing to Teach — A description of the contrast between attempting to teach with no skill and anointing for it and under the anointing to teach.
8.     The Anointing to Pastor — It takes time to develop ministries. Just obey God in each step and God will promote you. You can add to or diminish the anointing.
9.     The Anointing of the Prophet — There is a difference between the office of the prophet and the gift of prophecy. Those in the office of prophet do not function as prophets all the time, only when the anointing of the prophet is on them as the Spirit wills. Music will affect the anointing. Musicians that flow with the Spirit can cause the anointing of the prophet to intensify.
10.The Anointing of the Apostle — An apostle is one who has been commissioned by the Lord in a deep and real personal experience with Him.
11.How to Increase the Anointing — Study the Word and be prayerful to increase the anointing. A particular anointing will come through association, environment, and influence, so choose those who influence your life wisely.
12.Yielding to the Anointing — The more we yield to the Spirit of God, the more results we will see.
13.Peculiar Anointings — God anoints some people to minister in special ways.
14.The Healing Anointing — The anointing of healing power comes as God wills (whereas healing that comes through faith in the Word of God always works). The healing anointing is a tangible substance that can be transferred from one person to another through touch. It can be stored in cloth. The healing power must still be administered by faith. It can be increased by fasting and prayer. The stronger the anointing, the more instant healings will occur.
  • Section III: The Corporate Anointing
15.The Corporate Anointing — The whole church collectively has the anointing of all. When believers come together to worship and praise God, His glory can manifest in their midst.

Solly Mahlangu - Obrigado


Saturday, October 29, 2011

Quatations From Thomas Dexter Jakes


BISHOP TD JAKES


It is God's objective to make your condition line up with your position
  If your in anything and never wanted to quit it--your not in much.

All of us have not been to a natural prison, but everybody in here has had a spiritual prison.

Isn't it funny how something that will later be a blessing can be a curse if you get it too soon.

All over this nation, all over this world there are people going to church today and they say they are believers, but until you can take what you've been taught and bring it to the place you gave up--you will never be the radical believer that you need to be for the times in which we live.

You are no stronger than your belief system.

Your latter days are supposed to be greater than your former days.

Karama za Romo Mtakatifu 1




Karama ya kupambanua roho

Hii karama mara nyingi inafafanuliwa kuwa ni kuwezeshwa kwa njia isiyo ya kawaida, kuona au kutambua kitu kinachoendelea katika ulimwengu wa roho.
Maono katika akili au macho ya mwamini yanaweza kuwekwa katika fungu la kupambanua roho. Hii karama inaweza kumruhusu mwamini aone malaika, mapepo, au hata amwone Yesu Mwenyewe, kama ilvyotokea kwa Paulo mara kadha (ona Matendo 18:9, 10; 22:17-21; 23:11).

Wakati Elisha na mtumishi wake walipokuwa wanatafutwa na jeshi la Shamu, walijikuta wamenaswa katika mji wa Dotani. Mtumishi wa Elisha alitazama juu ya kuta za mji na baada ya kuona makundi ya askari yanajikusanya, alipata wasiwasi sana. 

[Elisha] Akamjibu, Usiogope; maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao. Elisha akaomba akasema, Ee BWANA! Nakusihi mfumbue macho yake, apate kuona. BWANA akamfumbua macho yule mtumishi; naye akaona na tazama, kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na magari ya moto yaliyomzunguka Elisha pande zote (2Waf. 6:16, 17).
Je, ulifahamu kwamba malaika husafiri kwa farasi wa kiroho na magari ya kiroho? Siku moja utawaona mbinguni, lakini mtumishi wa Elisha alipewa uwezo wa kuwaona hapa duniani.

Kwa njia ya karama hii, aaminiye anaweza kumtambua pepo mchafu anayemtesa mtu fulani na kuwa na uwezo wa kutambua ni roho ya aina gani.
Pia, karama hii haiwezeshi kuona katika ulimwengu wa roho tu bali hata kupambanua kwa namna nyingine yoyote katika ulimwengu wa kiroho. Kwa mfano: inakuwezesha kusikia kitu kutoka katika ulimwengu wa kiroho, kama sauti ya Mungu Mwenyewe.

Mwisho – hii karama si “ya utambuzi” kama ambavyo wengine wanazoea kuiita. Watu wenye kudai kuwa nayo wakati mwingine hudhani kwamba wanaweza kutambua makusudi au nia za wengine, lakini si kweli. “Karama” wanayodai kuwa nayo ni sahihi ikielezwa kwamba ni “karama ya kukosoa na kuhukumu wengine.” Ukweli ni kwamba pengine hata wewe ulikuwa nayo kabla ya kuokoka, na sasa kwa kuwa umeokoka, Mungu anataka akuweke huru kutokana nayo moja kwa moja!

Na Shepherd Save Ministry

Night of Worship at Saint Augustine Univesity


Friday, October 28, 2011

WOW Album For 2011 iko Sokoni


Wow album ni mtiririko wa wa Video Album za Injili chini ya Lebo Mahiri duniani iitwayo VERITY. Wow hujumuisha nyimbo toka kwa wanamuziki mbalimbali wa injili Duniani wakubwa kwa wadogo na hatimaye hutengeneza collection Album ambayo ndio hupewa jina la WOW ALBUM.

Kwa mujibu wa official Website ya lebo ya Verity, Wow 2011 inajumuisha wanamuziki kama Donnie Mcclurkin, smokie Norful, Fred Hammond, Shekinah Glory Praise and Woship Team ikiongozwa na Smash aliye-lead humo ndani a hit song inayoitwa “Praise is what I do” na wengine wengi.

Smokie Norful Mmoja kati ya watumishi waliohudhurisha Sauti zao katika Wow Album 2011

Collection Album hii imekuwa Released mapema Mwaka huu lakini kulingana na upatikanaji wake nchini Tanzania ni wachache sana waliofanikiwa kuipata mpaka muda huu. WOW ALBUM zilianza kutoka rasmi mwaka 1998 na hadi kufikia sasa zimeshatoka jumla ya WOW ALBUM zipatazo kumi na mbili. Hapa nchini Msama Promoters wanadesturi ya kuandaa Collection album ambazo wamezipa jina la Halleluya album collection. 
 

Pastor Zakayo Nzogele - Maturity in Christianity


Thursday, October 27, 2011

Wanamuziki wa Injili nchini Tanzania wakamilisha Video ya Wimbo wa Miaka 50 ya Uhuru.

Baadhi ya washiriki wa wimbo huo Mwl John Shaban kushoto, Martha Mwaipaja,Debora Said, Emmanuel Mgaya(Masanja),Mzungu Four Jane Misso na wengine wakiwa Makini katika shughuli hiyo

Hatimaye waimbaji wa nyimbo za injili Tanzania wakiongozwa na mwalimu wa muziki Mtumishi John Shabani, chini ya usimamizi wa chama cha muziki wa injili Tanzania (Chamuita) wamekamilisha video ya wimbo ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania. 

Pamoja na waimbaji mbalimbali kushiriki katika wimbo huo pia yumo mheshimiwa Martha Mlata ambaye amechangia sana katika kufanikisha kurekodi wimbo huo. Baadhi yam abo aliyo yafanya ni pamoja na kufanikisha kupata sare na bendera kutoka serekalini pamoja na kutoa feha za kufanikisha kurekodi video. Pia studio ya Pro arts studio ya jijini Dar es salaam ilijitolea kurekodi sauti. 

Video Ikifanyika

Wazo la kuwakusanya waimbaji wa injili na kurekodi wimbo wa miaka 50 ya uhuru, lilianzishwa na bwana Tc Timothy Chelula na kumshirikisha mwalimu John Shabani, ndipo walipo kihusisha chama cha muziki wa injili na vyombo mbalimbali vya habari. Muda si mrefu wimbo huo utasambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Baadhi ya waimbaji walioshiriki kurekodi wimbo huo ni:

 
1. Gloria kilahiro 18. Mzee Makassy
2. Amon Kilahiro 19. Mzungu Four
3. Masanja Mkandamizaji 20 Jane Misso
4. Upendo kilahiro 21 Addo November
5. Stella Joel 22. Martha Mlata
6. Nely Nyamanga 23. Ambwene mwasongwe
7. Joyce Ombeni
8. Bony Mwaitege 24. Douglas Pius
9. John Shabani 25. Mchumu Maximillian
10. Rose Manoza 26. Charles Thobias Malya
11. Yona Abiud 27. Joshua makondeko
12. Miriam Lukindo Mauki 28. Daniel Safari
13. Robert Bukelebe 29. Naomy Mbwambo
14. Nicholaus Misuzi 30. Joseph kasigala
15. Christina Matai 31. Debora Said
16. Tina Marego 32. Stara Thomas
17. Martha Mwaipaja 33. Victor Ahron
Na wengine wengi.


Pamoja na hayo, Viongozi wa chama chamuziki Tanzania, wanatoa wito wa waimbaji kujiunga na chama hicho kwani kuna faida nyingi za kujiunga na chama. Fomu zinapatikana sasa. kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0754 818 767 au 0716 560094
.

Clip za Video Zikiendelea Kuchukuliwa

Kuna Dawa Lyrics - Esther Wahome

Esther Wahome

Artist: Esther Wahome
Song: Kuna dawa

Chorus

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Verse 1
Nayatangazia Mataifa
Kuna dawa na waipokee
Dawa nii Kumpokea Yesu
Ooh Kuna dawaa
Nayatangazia Mataifa
Kuna dawa na waipokee
Dawa nii Kumpokea Yesu
Ooh Kuna dawaa

Dawa nii Yesu
Mpokee leo
Kuna dawa
Naitangaza dawaa
Halleluya
kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Verse 2
Pokea dawa bila malipo
Yaponya roho napia mwili
Yao ndoa dhiki na laana
Ooh, kuna dawa

Pokea dawa bila malipo
Yaponya roho napia mwili
Yao ndoa dhiki na laana
Ooh, kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Yesu ndiye dawa
Pokea dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Pokea dawa yake
Kuna dawa, kuna dawa
Yesu
Nawasihi
Kuna dawa, kuna dawa
Munywe dawa

Verse 3
Nawasihi wote munywe dawa
Wazee kwa vijana tunywe dawa
Watoto pia wapewe dawa
Ooh, kuna dawa
Nawasihi wote munywe dawa
Wazee kwa vijana tunywe dawa
Watoto pia wapewe dawa
Ooh, kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Natangagaza Kwa Mataifa
Yesu ndiye dawa
Hakuna hakuna hakuna fundisho
Linginee
Dawa ndio wahitaji Mama
Ikubali
Ikubali hii
Dawa Dawa Dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Vijana Munywe Dawa Nina
Tangazaa
Kuna dawa, kuna dawa
Msife Moyo
Ooh Mama
Usife Mwoyo
Kuna dawa, kuna dawa


Kuelekea Miaka 50 ya Uhuru, Watanzania Waishio Marekani na Canada Kufanya Ibada ya Pamoja Kusherehekea Uhuru



Watumishi wa MUNGU kutoka Tanzania waishio na kuhudumu Nchini Marekani na Canada pamoja na washirika, mnamo Tarehe 12Nov 2011 wanatarajia kukutana na kuwa na ibada ya Pamoja kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa kutuwezesha Tanzania kufikisha MIAKA 50 toka tumepata UHURU. Ibada hiyo itakayohudumiwa na speakers Sita kutoka Huduma(Ministries) tofauti tofauti za watanzania waishio katika mataifa hayo , inatarajia kufanyika katika kanisa la BETHEL WORLD OUTREACH CHURCH lililoko nchini Marekani.

Hii ni fursa nzuri kwa Watanzania waishio Nje ya nchi kukaa pamoja na kumtukuza Mungu kwa Yale yote aliyotutendea kama watanzania. Mungu Wetu ni wa AJABU NA Fadhili ZAKE kwetu Hazikomi kizazi mpaka kizazi.


Package From Altar: UNAUTUMIAJE UPAKO WA MUNGU JUU YAKO?



Mathayo 21:28-32 – Ukisoma andiko hili utaoona habari  baba mmoja aliyekuwa na wana wawili, akamwita yule wa kwanza akamtuma aende kwenye shamba lake la mzabibu ili akafanye kazi za huko. Huyu kijana alikubali aksema nitaenda lakini hakwenda, babaye akamwendea yule wa pili akmwagiza kama wa kwanza, huyo wa pili akasema sitaki badaye akatabu akaenda.

Yohana 1:12 inasema “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake”. Soma vizuri huu mstari tena, Biblia haisemi wote waliompokea walifanyika kuwa wana wa Mungu, kama wengi tulivyozoea kusema au kuomba, bali inasema aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu, hii ina maana suala la kufanyika mwana litategemea wanautumiaje ule uwezo/ au upako ulioko juu yao.
Hebu tujiunze hili somo kwa kuwatumia hawa vijana wa Mathayo 21: 28 32;


Kijana wa kwanza;
  • Alipewa uwezo/upako wa kumsaidia katika shughuri ile aliyokuwa ametumwa na babaye.
  • Lakini yeye hakutambua kwamba ndani yake kuna wezo/upako.
  • Alikubali kwa kinywa kwamba naenda lakini hakwenda kama alivyokiri.
  • Hakuwa tayari kutekeleza agizo la babye licha ya kuwezeshwa .
  • Hii inatufundisha kwamba alikosa unyenyekevu na utiifu kwa babaye.
  • Tunajifunza pia kwamba alishindwa kuutumia uwezo aliopewa na  babaye.
Babaye hakurudi kumuuliza kwa nini hukwenda shambani?. Hii ni kwa sababu kubwa mbili, moja jibu alilolitoa lilionyesha anaujua wajibu ila hataki kuutekeleza (kiburi) i.e alikosa unyenyekevu na pili alishindwa kutumia  uwezo aliopewa babaye, hivyo babaye akaamua ahamishie kwa mwingine.  Na hichi ndio kitu kilichotokea kwa Sauli na Daudi. Mungu alihamisha upako toka kwa Sauli na kumpa Daudi kwa sababu Sauli alishindwa kuutumia vizuri upako wa Mungu uliokuwa juu yake kama Mfalme.

Kijana wa pili.

Kitendo cha kukataa kwake kwenda na kisha kutubu na kwenda kinatufundisha kuwa;
  • Makosa huwa yanafanyika, mtu akitubu Mungu anasemahe.
  • Tunapotubu makosa tuliyofanya, Mungu yuko tayari kusamehe na kututuma tena.
  • Kuna upako wa ziada wa kukusaidia kutekeleza agizo hadi likamilike.
  • Huyu kijana alimpenda babaye na aliujua wajibu wake ndio maana mwishowe alienda.
Kwa nini licha ya kuamua kwamba ataenda shambani alirudi kwa babaye  kutubu? 

  • Asingefanya kazi kwa amani.
  • Kazi isingekuwa na mafanikio mazuri.
  • Hivyo alirudi kuomba upako/uwezo/nguvu tena maana asingeweza bila upako huo.
  • Alihofu baba yake angeweza kumpa upako huo mtu mwingine. 
Jifunze yafuatayo toka kwa vijana hawa;
  • Mungu anapokupa uwezo/upako/nguvu za kufanya jambo fulani hakikisha unatumia vizri huo upako.
  • Kama awali umeshindwa kuutumia vizuri, omba rehema, na kisha usirudie tena makosa uliyofanya awali.
  • Upako unahitaji mahusiano yako na Mungu yawe mazuri na ndivyo kazi yako itakavyokuwa rahisi na yenye mafanikio.
  • Ukiweza kuutumia vizuri upako ambao Bwana ameweka juu yako kwa ajili ya kusudi lake tegemeana na nafasi yako hapo ndipo unafanyika mwana wa Mungu yaani unakuwa umefanya mapenzi ya muumba wako.
Kilio cha Mungu ni pale anapoona watu wake aliowapa uwezo kwa ajili ya kazi hapa duniani wanajisahau na kuanza kuifuatisha namna ya dunia hii. Wamesahau kwamba na Shetani naye amewapa uwezo watu wake ili kuhakikisha kwamba makusudi yake yanafanikiwa. Kumbuka kuwa Mungu na Shetani ni falme/kambi mbili tofauti siku zote. Kufanikiwa kwa makusudi ya kila falme kunategemea matumizi ya upako ambao kila mfalme anauachilia kwa watu watu wake.

Natoa wito wa kila mmoja kusimama kwenye nafasi yake, tukikumbuka kwamba muda wa Bwana wetu Yesu Kristo kurudi umekaribia, hivyo tumia upako na nguvu zake vizuri kwa kazi yake. Kama ni Mchungaji, Mwalimu, Mtume, Nabii, Mwimbaji, Mwombaji nk tumika kwa bidii, Je atakapokuja  Bwana wako atakuhesabu kama mtumwa mwaminifu au la?. Biblia inaposema mtumwa mwaminifu inamaanisha mtumwa ambaye anafanya sawasawa na mapenzi ya Bwana wake.


Kanisa tuache kulumbana na kugombana, kumbukeni kwamba ili Shetani aweze kututawala ni lazima atugawanye. Hivyo tusikubali kugawanywa na Shetani, bali kila mmoja aingie shambani kwa ajili ya kazi ya Bwana.  Na ndio maana alisema mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache. 

Hakuwa na maana ya kwamba hakukuwa na watu , watu walikuwepo lakini walishindwa kuutumia upako/nguvu zao vizuri. Kwa hiyo uwepo wao haukuwa na maana kwa Bwana wao. Maana/thamani ya uwepo wao ingekuwepo kama wangeutumia uwezo/upako/nguvu walizopewa vizuri ili kuhakikisha makusudi ya Bwana wao yanatimia.

Naamini ujumbe huu mfupi utaamsha nia ndani yako ya kusimama na kujipanga kwa upya kuutumia vizuri uwezo/upako wa Mungu juu yako. 

Barikiwa, maombi yako ni muhimu sana juu ya huduma hii .

Na Patrick Sanga

Wednesday, October 26, 2011

Beatrice Muhone Azindua album yake ya Tatu


Beatrice Muhone akitoa maelezo wakati wa Uzinduzi wa album yake ya HUNIONGOZA Jumapili iliyopita.

Mwanamuziki Mahiri wa nyimbo za Injili Afrika mashariki na kati Beatrice Muhone mwenye makazi yake jijini Arusha jumapili iliyopita tarehe 23/10/2011 amezidua album yake ya Tatu aliyoipa jina la HUNIONGOZA. Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo alikuwa Mh Ezekiel Maige ambaye ni Waziri wa maliasili na utalii. Uzinduzi huo uliambatana na changizo la fedha kwa ajili ya kusaidia watoto yatima.

Album hii ya Huniongoza inafuataia baada ya Album zake mbili zilizotangulia ambazo ni INGOJE AHADI pamoja na AMEJIBU AHADI. Katika uzinduzi huo Beatrice Muhone alisindikizwa na Upako Group ambacho ni kikundi cha uimbaji wa nyimbo za injili cha mjini Arusha pamoja na waimbaji maarufu wa injili ambao ni Cosmas Chidumule, Ambwene Mwasongwe pamoja na Ado November.

Hosanna Inc alishuhudia jumapili iliyopita jiji la Arusha likiwa na matukio takribani matatu yanayohusu injili ambapo Tukio la kwanza ni hili la Beatrice Muhone Kuzindua Album yake katika Hotel ya Naura Spring , Wakati Beatrice akizindua Album yake, katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mwanamuziki Mwingine wa injili toka jijini Arusha alikuwa akizindua album yake na Mh Tundu Lissu alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo. 

Tukio lingine lilikuwa ni kuanza kwa semina ya Neno la Mungu inayohudumiwa na Mtumishi Engineer  Tumainieli Mbwambo, semina hiyo inaendelea katika Ukumbi wa Metropole ulioko katikati ya jiji hilo.

Kundi maarufu la kusifu na kuabudu jijini Arusha UPAKO SINGERS lilikuwepo ukumbini kumsindikiza Beatrice

Harold Camping Update: Family Radio Website Removes Doomsday Warnings After Failed Predictions

For the past five months, Harold Camping's Family Radio website had posted on its main page an "explanation" of why the world did not end on May 21 and why it would truly end on Oct. 21. Four days after Camping's failed doomsday date, however, that explanation has been removed, suggesting that Family Radio may be out of the rapture prediction business.



Family Radio is headquartered in Oakland, Calif. Its president, Harold Camping, continues to cause a stir as he predicts the exact date of the end times. Most of the staff at Family Radio do not believe in Camping's predictions.

The move comes soon after Brandon Tauszik, a documentarian who has been attending Camping's Oakland, Calif., church for eight months, confirmed with The Christian Post in an exclusive interview that the Bible preacher has informed those close to him that he will effectively retire.

Additionally, Tauszik told CP that Camping has changed his views about the possibility that one can know the exact date of the end of the world, a notion that Camping has maintained for at least 20 years; the doomsday prophet made his first public end of the world prediction in 1992, claiming the world would end in 1994.

There has been evidence of a "softer" apocalypse message from Family Radio, with more emphasis placed on perpetual readiness for judgment from God rather than a specific date on a calendar to prepare for.
Recently, a host on the station told listeners, "I know that many of us are deeply disappointed that Christ did not come. And I said something like this back in May, but please try to keep in mind that all of us who are believers, all of us who are Christians, are to live in such a way that we are to pray with the apostle John: 'Come quickly Lord Jesus.'"
The network also released an official statement that promotes a similar message:

"Thy command is still to occupy until he comes," Family Radio said. "We are still to go teach and tell. We are to share his word by reading it, teaching it, and singing it. We still have a unique tool and that tool is radio on which we can bring comfort and encouragement. Every day we, who are Christians, live in attention. We are to live so that we are ready for the return of Christ, and even pray for it. But we also rejoice in every new day, that we've been given another day to occupy and serve our Lord."
If it is true that Family Radio is looking to change its image as an end-times predictor, it would be in line with many of its employees.

"I don't believe in any of this stuff that's going on, and I plan on being here next week," a receptionist at Family Radio's Oakland headquarters told CNNMoney during the May doomsday prediction.

In fact, the receptionist said at the time that 80 percent of her co-workers do not believe in Camping's predictions.

Source: Christian Post

Double E Sisters - Yesu Yupo


Campus Night 11-11-2011 Homa ya Jiji


Jamaa anaitwa Freddy Chavalla nI Gospel Comedian atakuwepo siku hiyo pale Leaders Club
Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndivyo Presha na shauku ya Tamasha la CAMPUS NIGHT inavyozidi kuongezeka. Kwa ambao hawajui Tunammanisha nini, Night Campus ni Usiku Maalumu wa Kusifu na Kuabudu ukiambatana na mafundisho ya Kimungu pamoja na mazungumzo yenye kujenga yakiwalenga zaidi vijana hususani walioko vyuoni. Kadri miaka inavyozidi kwenda mbele ndio hasa Night Campus inavyozidi kuwa gumzo kwa kugusa maisha ya Vijana wengi.

Kwa Mwaka huu wa 2011 Campus Night inasimama chini ya Kauli mbiu(Theme) iitwayo FOCUS baada ya ile ya mwaka jana iliyoitwa HIGHER LIFE. Night Campus ni tukio pekee  linalowaunganisha na kuwaweka pamoja wanafunzi waliookoka kutoka vyuo vyote vya jijini Dar es salaam na mikoa ya jirani hususani Mikoa wa Morogoro na Pwani kwa utukufu wa Mungu.

Campus Night huandaliwa na Vijana wa Kanisa la Victory Christian Centre lililo chini ya Mch Huruma Nkone  kwa Mwaka huu itahusisha wanamuziki na wasanii kutoka Mataifa mbalimbali yakiwemo Uganda, Kenya , Tanzania ,Burundi, na kutoka bala la Ulaya.Ni matumaini yetu kuwa Mungu atashuka na kuhudumia ROHO za Vijana katika kusanyiko  hilo.


Night Campus 2011
Date: 11/11/2011
Venue: Leaders Club Kinondoni
Time:12:30jioni Mpaka asubuhi
Hakuna Kiingilio


Saturday, October 15, 2011

Jehova Yu Hai Tour Kuitikisa Mwanza

John Lisu akiwa studio ya Alive Fm Radio ya jijini Mwanza
Mwanamuziki wa nyimbo za injili John Lisu pamoja na kundi lake wanatarajia kufanya Tamasha la kusifu na kuabudu katika jiji la Mwanza.Kwa mujibu wa John Lisu Tamasha Hilo lainatarajiwa kufanyika Tarehe 6/Nov/2011  kuanzia saa 9:00 Mchana -12Jion katika ukumbi wa Hotel Mpya ya Golden Crest ulioko mkabala na New Mwanza Hotel.

Hapo awali tamasha hilo ilipangwa kufanyika katika uwanja wa CCM Kirumba kabla mabadiliko hayajatokea. Hili litakuwa ni Tamasha la Pili kwa John Lisu kuhudumu katika jiji la Mwanza ambapo tamasha lake la awali lilifanyika takribani miaka Mitatu iliyopita.

John Lisu akiwa na Addo Nzwalla ambaye ni mmoja wa watangazaji wa ALIVE FM

Lisu aliiambia Hosanna Inc kuwa anatarajia kufanya Tamasha Hilo LIVE Pasipo Playback. Akiwa jijini Mwanza kwa maandalizi ya Tamasha Hilo Lisu alifanya Mahojiano(Interview) na  mtangazaji Smith Swai kutoka Redio ya  ALIVE FM na kueleza dhana nzima ya Tamasha hilo. Hosanna Inc itakuarifu mchakato mzima katika kuelekea kwenye  Tamasha hilo.

Overcome Your Fear


Fear keeps us in the background. It convinces us we can never accomplish our dreams, tells us to keep quiet, and separates us from the ones we love. Fear has an unparalleled ability to freeze us in our tracks, and limit what we are willing to try. Fear makes us lead a smaller life.

The things that we are afraid of may be different, but our reactions to fear are usually the same – our palms sweat, our mouths get dry, our stomachs churn — and we would do anything, make any sacrifice, just to make it go away. How many times have you turned away from an opportunity or even a relationship because you were too afraid to go for it?


Fear is not a bad thing. It exists for our protection as an early warning signal. But there is a big difference between the healthy fear that tells us to step away from the edge of a cliff and a constant fear that keeps us from living our life. Dr. Henry Cloud, counselor and author, in his article “Overcoming Fear,” recommends several active steps we can take to battle the fear that controls us 

 connecting with others, creating structure, learning relaxation techniques and developing a spiritual life and face your fears. Fortunately for us, there are practical ways to take the doctor’s advice.

1.     Connecting with others. All fears, no matter how big or small are worse when we face them alone. Find a good friend to share your fears with. We tend to resist admitting our fears because we are afraid that the person will think less of us, that they will laugh or make things worse. Find someone you can trust, possibly a counselor, maybe a relative or trusted friend and share what’s bothering you. They may be able to help you see what you’re afraid of in a new light and they will be there to stand by you and encourage you as you take steps to face your fears.

2.     Create structure. If it’s a new situation that is causing your worries, Dr. Cloud recommends building structure into your schedule to create safety. If you exercise, exercise at the same time every day, arrange to meet a friend for coffee at the same time each week. Structure gives us a sense of security because we know what to expect. There is comfort in the familiar. If you take control of what you can, it will give you a good starting place from which to face the things you can’t control.


3.     Learn relaxation techniques. Fear, left to grow can lead to some serious health problems. If your fears are having a physical effect on health, learning some relaxation techniques may help you to be physically ready to face the challenge ahead. There are numerous resources online on this subject as well as a wealth of information at the library. Find the technique that works for you.


4.     Develop a spiritual life. In times of crisis, spiritual truths that are consistent in any circumstances are a great comfort. They give us safety and familiarity and, more importantly, they give us a reason to hope. If you do not have a spiritual life or faith consider talking to a pastor or read the Bible. The book of Psalms in particular speaks to people that are facing difficulties.

5.     Face your fears. Finally, the last step is to actually face your fears. First, it is important to note that some fears are healthy and some situations should be avoided for your own personal safety. There are no hero points awarded for going into a personally threatening situation. However, if the threat is more mental than physical, actually doing the thing you’re afraid of can be the best antidote of all. Don’t forget that it is often easiest to do this in steps.

 If your biggest fear is public speaking (and it is for the majority of us) don’t offer to address the room at the next stock holder’s meeting, but do try something smaller. Consider leading your next departmental meeting, or give a small talk at your next group meeting, something with a small audience and familiar faces, then work your way up from there. Facing your fears is a process.


Friday, October 14, 2011

Harris Kapiga aelezea Changamoto Katika Kuuvusha Mipaka Muziki wa Injili


Mmoja wa Wanakamati wa Kamati ya Tunzo za Muziki wa Injili, Haris Kapiga (Kushoto) akizungumza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA kuhusu Changamoto katika kuuvusha mipaka muziki wa Injili. Kulia ni Kaimu Mratibu wa Jukwaa hilo Aristide Kwizela.
Mmoja wa wanakamati wa Tuzo za Muziki wa Injili nchini NA MTANGAZAJI WA Clouds Fm Mtumishi Harris Kapiga alisema kuwa, kuna kila sababu ya wasanii wa muziki wa injili nchini kufanya kazi zao kitaalam zaidi na kutumia teknolojia ya mawasiliano katika kujitangaza. Kapiga alisema hayo kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila wiki katika makao makuu ya Balaza la sanaa Tanzania{BASATA}.

Mtumishi Kapiga aliendelea kusema “Ni ajabu sana, kuna wasanii wengi wa muziki wa injili ni maarufu sana lakini hawapatikani kwenye mitandao kama ya Facebook, twitter na mingineyo ambayo hutumiwa na wasanii wengi katika kujitangaza” Kapiga.
Aliongeza kuwa, hali hiyo ni tofauti na wasanii wa nje kama Rebecca Malope ambao ukiingia kwenye mitandao ya mawasiliano ni rahisi sana kupata taarifa na hata kazi zao hivyo kutanua fursa zao za kujitangaza na kujipatia kipato.

Kuhusu utafiti alioufanya kwa kuzungukia maduka mbalimbali ya usambazaji kazi za Wasanii wa muziki wa Injili Bw. Kapiga alisema kuwa, wasanii kutoka nje kama wale wa Kundi la Ambassadors of Christ kutoka Rwanda na Sara K wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri na kuwazidi wasanii wa ndani.
Alitoa wito kwa wasanii kutumia fursa mbalimbali kujitangaza hasa kutumia teknolojia za kisasa na kutengeza kazi zenye ubora ili kazi zao ziweze kuvuka mipaka na kufanya vizuri zaidi.

Kwa uchunguzi uliofanywa na Hosanna Inc katika mitandao Jamii unaonyesha wazi kuwa wanamuziki wa injili hawajitangazi kupitia Mitandao Hiyo. Mpaka sasa wanamuziki wa Injili wenye  Kurasa au Account kwenye Facebook  na ambazo ziko Active ni pamoja na Upendo Kilahiro, John Lisu, J. Sisters, Jane Miso, Emmanuel Mabisa, Addo November, na Ambwene Mwasongwe na wengine wachache ambao hatujapata taarifa zao.Kwa Upande wa mtandao jamii wa Twitter Addo November ndiye Mwanamuziki wa Injili pekee kutoka Tanzania mwenye Account  katika mtandao huo.

Upendo Kilahiro na Addo November ndio wanamuziki wa Injili wanaoongoza kwa kuwasiliana na wapenzi wa Muziki huo kupitia account zao za Facebook.


Dada Yake Rose Mhando Afariki Dunia


Rose Mhando
Dada wa Muimbaji Mahiri wa Muziki wa Injili nchini Rose Mhando aitwaye Salma Muhando amefariki dunia usiku wa kuamkia jana tar 13/10/2011.Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwao Mkoani Tanga katika kitongoji cha Kilindi.

Ikumbukwe kuwa Sehemu kubwa ya Familia ya Rose Mhando ni waislamu lakini Kwa Neema ya Mungu leo Rose anamtangaza Kristo.

Hosanna Inc tunaamini pamoja na Hili kutokea “All things Works together for Good”. Mungu anabaki kuwa Mungu kwa kuwa hata hili amelifanya kwa Utukufu wake.


Thursday, October 13, 2011

New Life Band wamwadhimisha Bwana Jijini Mwanza



New Life Band wakiwa jukwaani na Kushoto ni Kiongozi wa Bendi hiyo Fortunatus Mabondo{ONDO}


Bendi Kongwe ya Muziki wa Injili ya New Life Band yenye makazi yake jijini Arusha, Jumapili iliyopita ilifanya Tamasha la WAZI la Kusifu na kuabudu katika jiji la Mwanza. Tamasha hili lilifanyika katika viwanja vya Furahisha na liliandaliwa na umoja wa makanisa jijini Mwanza. Katika Tamasha hilo Makanisa yapatayo Arobaini na Mbili{42} yaliunda Mwanza Mass Choir iliyokuwa na jumla ya Waimbaji zaidi ya Mia na ishirini{120}.


Sehemu ya Mwanza Mass Choir
Kwa wanaofuatilia matamasha ya Muziki wa Injili jijini Mwanza watakubali kwamba hili ni Tamasha la Kwanza la LIVE lililowahi kufanyika jijini Hapa kwa Mwaka huu na kupata ushirikiano wa kutosha kati ya Praise Team na Hadhira.

Tamasha lingine la LIVE lililokuwa bora jijini Mwanza ni la uzinduzi wa Album ya Ni Asubuhi ya Mwanamama  Miriam L. Mauki lililofanyika   katika uwanja wa CCM Kirumba. Mengi ya Matamasha yanayofanyika jijini Mwanza hususani yanayofanywa na wageni{watumishi kutoka nje ya jiji la Mwanza} hutumia PLAYBACK na sio Live na hivyo kukosa ladha halisi ya Muziki.

Katika tamasha Hili ambapo Mama Diana Mwakasege alihudhuria, kuanzia Mwanzo mpaka Mwisho Hadhira ilikuwa ikienda Sambamba na Ebednego ambaye ni Sololist wa Bendi Hiyo. Bendi nzima ya New Life chini ya Mtumishi Mabondo marufu kama ONDO ilikuwepo jijini Mwanza kwa ajili ya Huduma hiyo, ambapo watumishi hao walikuja na SOUND SYSTEM yao kutoka jijini Arusha.

Inafahamika kuwa uwanja wa Furahisha huwa hauna viti, cha kutia hamasa ni kwamba watu walikuwa wakiimba na kucheza kuanzia Mwanzo wa Tamasha mida ya saa Tisa mchana mpaka tamasha lilipofungwa Rasmi na Askofu Elihuruma Swai wa Kanisa la TAG mnamo saa moja Usiku.

Setting ya Vyombo na stage vilifanyika siku ya Ijumaa na Jumamosi


Hosanna Inc ilipata nafasi ya kuongea na ONDO na kumuuliza

Hosanna Inc: kwa nini mmefanya Tamasha hili jijini mwanza na sio mikoa mingine ya Tanzania Tofauti na Moshi na Arusha ambako mmejikita kwa Muda mrefu?

ONDO: Ulikuwa ni mpango wa Mungu tuje Mwanza na kufanya huduma hii ingawa Mwanzoni tuliona ni gharama sana na unajua kitu chochote cha Kimungu kinaupinzani mkubwa, ila watu wa Mwanza walisimama kwenye Maombi na leo Mungu ametufanikisha.

Maandalizi yakiendelea siku ya Jumamosi

Bro James Kimtuo akipiga kinanda na kuimba siku hiyo

Mass Choir na Hadhira wakimtukuza Mungu

Abiria Chunga mali yako, Soloristi wa New Life Band Mtumishi Abednego akienda sambamba na Mkewe jukwaani
Shangwe kwa Kristo Yesu

Nijaze Roho Mtakatifu, Niwekeeee karibu na weeee Eeeh  Eeeh Nirejesheee Furaha ya wokovu Baba Nafsi yangu Yakutamanii

Askofu Elihuruma Swai akifunga Tamasha mnamo majira ya saa moja usiku

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...