Monday, July 25, 2011

Zimebaki Siku 24 kabla ya kufanyika Tuzo za Muziki za Afrika mashariki na kati


Zile tuzo zijulikanazo kama East Afrika Music Awards [EAMS], zinatarajia kufanyika Tarehe 20/08/2011 katika jiji la Nairobi. Tuzo hizo ambaz kwa hapa nchini zimedhaminiwa na vitu vya ITV na Radi 0ne, zimehusisha aina mbalimbali za Muziki

Katika kategori za Gospel ambazo Hosanna Inc inapenda kuziongelea, wanamuziki Christina Shusho, Upendo Nkne pamoja na kundi la Mwanza Gospel Singers wanaiwakilisha Tanzania katika tuzo hizo.Nchi zinazoshiriki katika Tuzo hizo ni Tanzania, Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda, Congo, Kinshasa, pamja na Somalia.

Wakati umefika kwa watanzania kuwapigia kura watanzania wenzao  ili kuweza kufanikisha ushindi kwa watanzania hao. Hii ni kwa kuwa uwezo wanao na wanamtumikia Mungu katika viwango vya juu kwa utukufu wa Mungu.

Zifuatazo ni taarifa zaidi juu ya kategori ya Hiyo

GOSPEL CATEGORY

Best male

1. Cedric Bangy - "Segneur" - Burundi.
2. Dominique Ashimwe - "Nditabye" - RWANDA
3. Davoit Getachevu - "Tebiaihanehu" - ETHIOPIA
4. Wiseye Willie - "Buye Gigitare" - BURUNDI

Best Gospel Female

1. Christina Shusho - "Unikumbuke" - TANZANIA
2. Gaby - "Amahoro" - RWANDA
3. Alice Kamande - "Upendo Ule ule" - KENYA
4. Upendo Nkone - "Haleluyah Usifiwe" - TANZANIA

Best Gospel Group

1. Nef Thalem Assegid - " Nebse" - ETHIOPIA
2. Mwanza Gospel Choir -Nivema" - TANZANIA
3. B.M.F - "I live for you" - KENYA

Best Gospel Collabo

1. Emmy Kosgei ft. Lynn. "Omegeu Rerein" - KENYA
2. Mbuvi Ft. Kambua - "Kivevelo" - KENYA


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...