Tuesday, May 24, 2011

Pastor Daniel kulola Kuhudumu Nchini Scotland


Pastor Daniel kulola jumapili ijayo anatarajia kuhudumu Neno la Mungu Katika nchi ya Scotland. Hii ni moja kati yahuduma ambazo amekuwa akizifanya kwa takribani mwezi mzima sasa akiwa barani Ulaya..Tunaamini kuwa Mungu atazidi kuntumia yeye pamopja na Mkewe kwa namna ya Tofauti kwa utukufu wake.

Pastor Daniel kulola na mkewe wakiwa katika huduma katika kanisa la Shirley Jijini Birmingham

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...