Monday, May 30, 2011

Rais Kikwete Ahudhuria Ibada ya Usimikaji wa Askofu Mwanza

Rais Jakaya kikwete akimpongeza Mhashamu Albert Jella Randa
Rais jakaya Mrisho Kikwete jana alihuduria Ibada ya kumsimika Uaskofu wa kanisa la Menonite Dayosisi ya Mwanza Mhashamu Albert Jella Randa katika sherehe za kimsimika askofu huyo mpya zilizofanyika katika kata ya Nyakato  wilaya ya Ilemela mkoaniMwanza jana mchana. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...