Monday, May 23, 2011

Picha Yetu Jumatatu Hii


Pichani Mchungaji Zakayo Nzogelle toka Mwanza International Community Church (MICC), akimuombea Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza Mh Wenje. Tukio hili lilitokea kwenye kambi ya Vijana iliyoandaliwa na Kanisa la Covenant Bible Church International ambapo Mheshimiwa Wenje alikuwa mgeni rasmi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...