Sunday, March 27, 2011

THANKSGIVING NIGHT OF PRAISE AND WORSHIP

Tafes CBE-Mwanza wameandaa usiku maalumu kwa ajili ya kumshukuru MUNGU kwa kupata fursa ya kusoma cbe.Wengi wa wana cbe kwa namna moja au nyingine walikua wamekata tamaa ya kuendelea na Elimu. Hivyo kwa nafasi hiyo Mungu aliyoitoa, kutafanika Tamasha la kusifu na kuabudu kwa ajili ya kumshukuru MUNGU kwa kufungua fursa ya kuendelea na masomo ya cheti, stashahada, na stashahada ya juu uzamili. Yule MUNGU aliyefungua mlango wa kuendelea na masomo,ni yule yule atakayefungua milango kwa ajili ya Digrii ya kwanza ya pili,ya tatu……pamoja na mambo mengine mazuri kwa utukufu wake. Ebenezer

                                                   

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...