Thursday, March 31, 2011

Uzinduzi wa video ya Miriam Lukindo iitwayo Ni Asubuhi

MWIMBAJI  wa nyimbo za Injili nchini, Miriam Lukindo, ametabulisha video ya albamu yake mpya  ijulikanayo kama “Ni Asubuhi” kwa baadhi ya viongozi wa serikali na wabunge katika ukumbi wa Blue Pearl, jijini Dar es Salaam. Uzinduzi RASMI wa video hiyo utafanyika tarehe 10 Aprili mwaka huu kwenye ukumbi wa Diamond, pia jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa viongozi waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, aliyekuwa mgeni rasmi.

Miriam Lukindo Mauki
Sehemu ya umati uliohuzuria uzinduzi wa video hiyo
Mh Viky Kamata akifuatilia uzinduzi huo
Mama Edina Lowassa akipata chakula na kushoto kwake ni Miriam Lukindo
                                                                               

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...