Monday, June 27, 2011

Picha Yetu Jumatatu Hii

Pichani wanaonekana wanamuziki wa kikundi cha Mwanamama Rose Muhando wakiwa jukwaani katika mji wa nakuru nchini Kenya.Hii ilifanyika mwaka jana mwezi wa nane wakati wa ziara ya Rose Mhando nchini Humo iliyoitwa "THE NIBEBE TOUR"

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...