Monday, March 26, 2012

Watumishi wa Mungu wakiwa na Kombe la UEFA



Leo tarehe 26/03/2012 kombe maarufu la mpira wa miguu kwa bara la Ulaya almaarufu kama UEFA Champion Cup limeingia nchini. Pichani ni watumishi wa Mungu Mtume Fernandes na mkewe ambao walikuwa miongoni mwa wageni waalikwa wakipiga picha na kombe hilo.Waziri mkuu Mh Mizengo Pinda alikuwa ndiye mgeni rasmi katika hafla ya kulipokea kombe hilo nchini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...