Thursday, October 27, 2011

Kuna Dawa Lyrics - Esther Wahome

Esther Wahome

Artist: Esther Wahome
Song: Kuna dawa

Chorus

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Verse 1
Nayatangazia Mataifa
Kuna dawa na waipokee
Dawa nii Kumpokea Yesu
Ooh Kuna dawaa
Nayatangazia Mataifa
Kuna dawa na waipokee
Dawa nii Kumpokea Yesu
Ooh Kuna dawaa

Dawa nii Yesu
Mpokee leo
Kuna dawa
Naitangaza dawaa
Halleluya
kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Kuna dawa, Kuna dawa
Kuna dawa, Kuna dawa

Verse 2
Pokea dawa bila malipo
Yaponya roho napia mwili
Yao ndoa dhiki na laana
Ooh, kuna dawa

Pokea dawa bila malipo
Yaponya roho napia mwili
Yao ndoa dhiki na laana
Ooh, kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Yesu ndiye dawa
Pokea dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Pokea dawa yake
Kuna dawa, kuna dawa
Yesu
Nawasihi
Kuna dawa, kuna dawa
Munywe dawa

Verse 3
Nawasihi wote munywe dawa
Wazee kwa vijana tunywe dawa
Watoto pia wapewe dawa
Ooh, kuna dawa
Nawasihi wote munywe dawa
Wazee kwa vijana tunywe dawa
Watoto pia wapewe dawa
Ooh, kuna dawa

Chorus
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Natangagaza Kwa Mataifa
Yesu ndiye dawa
Hakuna hakuna hakuna fundisho
Linginee
Dawa ndio wahitaji Mama
Ikubali
Ikubali hii
Dawa Dawa Dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Vijana Munywe Dawa Nina
Tangazaa
Kuna dawa, kuna dawa
Msife Moyo
Ooh Mama
Usife Mwoyo
Kuna dawa, kuna dawa


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...