Monday, May 28, 2012

Picha yetu Jumatatu Hii:Mr and Mrs Rwakatare


Pichani anaonekana Mchungaji Dr Getrude Rwakatare kulia akiwa na mumewe wakati wa harusi ya mtoto wao wa mwisho Bw Mutta Rwakatare alipokuwa akifunga ndoa siku ya juzi jumamosi tarehe 26.05.2012.Ndoa ilifungwa katika kanisa la Mikocheni na Harusi ilifanyika katika ukumbi wa Mlimani City.

Maharusi Mr and Mrs Mutta Rwakatare


Picha kwa hisani ya Uncle Jimmy

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...