Monday, April 2, 2012

Dr Daniel Kulola ahudumu katika Campus Night ya chuo kikuu cha Bugando


Siku ya ijumaa iliyopita katika chuo kikuu cha Tiba jijini Mwanza kiitwacho Bugando University College of Heath Science (BUCHS), kulifanyika usiku maaalumu wa kusifu na kuabudu ulioambatana na mafundisho na maombezi.Katika usiku huo wanachuo wa kikristo kutoka vikundi vyote chuoni hapo kutoka UKWATA,TAFES,CASFETA na HUIMA walikuwa pamoja kwa lengo la kumtukuza Mungu.

Mtumishi wa Mungu Dr Daniel Kulola alikuwepo mahali hapo na alifundisha Neno la Mungui pamoja na kufanya maombezi na kuwaleta watu kwa Kristo.Tofauti na Mtumishi Daniel Kulola, Praise and worship Team kutoka TAFES SAUT ilikuwepo na ikahudumu katika usiku huo.

Tafes Praise Team ikihudumu

Praise ikiendelea

Kulia ni mtumishi Dr Daniel kulola akiwa na mwenyekiti wa Tafes mkoa wa Mwanza mtumishi Madaha

Aminaaaaa

Wanafunzi wakiyakabidhi maisha yao kwa Yesu


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...