Sunday, April 29, 2012

Emmy Kosgei,Sarah K, Christina Shusho, Waibuka kidedea katika Groove Awards 2011/2012



Sarah K na Esther wahome wakifurahia tuzo ya Sara K, hii ni baada ya Sarah K kuchukua Tuzo ya nyimbo bora ya kuabudu kupitia nyimbo yake ya LISEME

 
Tuzo Maarufu za Groove Awards 2011/2012 zimemalizika jana usiku nchini Kenya mabapo Mwanamuziki Christina Shusho kwa mwaka wa Pili mfululizo ameibuka kuwa mwanamuziki bora wa nyimbo za injili kutoka nchini Tanzania. Katika tuzo hizo ambazo mwanadada Kambua Manundu na Uche agu ndio walikuwa washereheshaji(ma Mc) huku tuzo hizo zikienda sambamba na performance kali kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wakiwemo

Uche-Agu(Double Double) kutoka South Afrika
Anthony Faulkner kutoka Marekani
Kambua Manundu
Emmy Kosgei
Jimmy Gait

Emmy Kosgei aibuka na tuzo mbili Mwanamuziki bora wa kike nchini Kenya huku album yake ya OLOLO ikichaguliwa kuwa album Bora ya mwaka.
Kambua aibuka mwandishi bora wa mwaka huku nyimbo ya Sara K iitwayo LISEME imeibuka kuwa nyimbo bora ya Kuabudu kwa mwaka 2011/2012

Katika sherehe hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya simu ya Safaricom chini ya Safaricom skiza brand, zilikuwa zikirushwa LIVE na kituo cha television cha KTN pamoja na kwa njia ya mtandao.

Washindi wengine wa Groove Awards 2012 Winners wana alama Nyekundu


MALE ARTIST OF THE YEAR
Daddy Owen
Eko Dydda
Holy Dave
Jimmy Gait
Juliani
Man Ingwe


Emmy Kosgei akipokea moja ya tuzo yake na pembeni ni timu yake ambayo amekuwa akiimba nayo sehemu mbalimbali

FEMALE ARTIST OF THE YEAR
Emmy Kosgei
Gloria Muliro
Kambua
Mercylinah
Mercy Wairegi
Sarah Kiarie

GROUP OF THE YEAR
Adawnage
B.M.F
Kelele Takatifu
M.O.G
Maximum Melodies
Tetete

NEW ARTIST/NEW GROUP OF THE YEAR
Dan Gee
Everlyne Wanjiru
Kelele Takatifu
Maximum Impact
Willy Paul
Zipporah Eric

SONG OF THE YEAR
Exponential Potential – Juliani
Furifuri – DK & Jimmy Gait
Ghetto – Ekodydda
Liseme – Sarah K
My call – MOG
Ololo – Emmy Kosgei

Sara K akiongea mara baada ya kupokea tuzo ya Nyimbo bora ya Kuabudu kupitia nyimbo yake ya LISEME

WORSHIP SONG OF THE YEAR
Liseme – Sarah K
Nakutazamia – Mercy Wairegi
Niongoze – Mercylinah
Nisizame -Tumaini
Umetenda mema – Kambua
Waweza – Everlyn Wanjiru

ALBUM OF THE YEAR
Ebenezer – Mercylinah
Kibali – Gloria Muliro
Liseme – Sarah k
Ololo – Emmy Kosgei
Pulpit kwa Street – Juliani
Utamu wa maisha – Daddy Owen

Uche agu ama uche Double Double akiongoza sherehe hizo kama Mc na pia aliimba

AUDIO PRODUCER OF THE YEAR
Billy Frank
Gittx
Jacky B
John Nyika
Papa Emile
Saint P

VIDEO PRODUCER OF THE YEAR
Eagle Films
Eyeris
J Blessing
Prince cam
Sakata
Washamba Unlimited

VIDEO OF THE YEAR
Exponential Potential – Juliani
Holy Ghost fire – BMF
My Call – MOG
Safari – Adawnage
Umetenda Mema – Kambua
Am Walking – Alemba & Exodus

Emmy kosgei akiwa na moja ya tuzo zake alizopewa

COLLABO OF THE YEAR
Fresh and Clean – Kevo Juice& Jimmy man
Furifuri – DK &Jiimmy Gait
My call – MOG & Julaini
Ni msoo – Kelele Takaifu & Holy Dave
Am Walking – Alemba & Exodus
Welwelo – Mr Seed& Danco

RAGGA/REGGAE SONG OF THE YEAR
Birthday – BMF
Fill me – Mr T & Samukat
Love came me way – Verbal
My Call – MOG Ft. Juliani
Number 1 – Kevo Yout
Am Walking – Alemba & Exodus

DANCE GROUP THE YEAR
Alabaster
Altamin
Detour
Iced
Saints
Zionists

GOSPEL RADIO SHOW OF THE YEAR
Gospel Sunday – Milele FM
Pambazuka – Citizen Radio
Route 104 – Hope FM
Shangila – Hope FM
Trinity Connect – Homeboyz Radio
Tukuza – Radio Maisha


GOSPEL TV SHOW OF THE YEAR
Angaza – KBC
Crossover 101 – NTV
Gospel Garage – K24
Kubamba – Citizen TV
Tukuza – Radio Maisha
Rauka – Citizen TV

Esther Wahome akifurahi kwa kucheza ukumbini hapo

RADIO PRESENTER OF THE YEAR
Allan T – Homeboyz Radio
Amani Aila – Hope FM
Anthony Ndiema – Radio Maisha
Eudias – Radio Jambo
James Okumu – Hope FM
Mike Gitonga – Radio 316


CENTRAL SONG OF THE YEAR
Nissi – Lois Kim
Agiginyani – Shiro wa GP
Marurumi – Wakabura Joseph
Mahindi Momu – Charles King’ori
Munduiriri – Carol Wanjiru
Muturire – Jane Muthoni


RIFT VALLEY SONG OF THE YEAR
Bong’o Longit- Gilbert Chesimet
Inet kei- Lilian Rotich
Kamura Tanet – Edina Kosgei
Kararan Chamet – Moses Sirgoi
Narue Tengek- Gilbert Segei
Ololo- Emmy Kosgei

Kambua aliyekuwa Mmoja wa Ma Mc na pia alichukua tuzo ya Mwandishi bora wa nyimbo za Injili nchini Kenya 2011/2012

ARTIST OF THE YEAR (TANZANIA)
Bahati Bukuku
Bonny Mwaitege
Christina Shusho
Neema Mwaipopo
Neema Nushi
Rose Muhando


SONGWRITER OF THE YEAR
Kambua



Angalia Live Perfomance ya SARAH K akiimba LISEME ukumbini hapo

1 comment:

  1. please show us the perfomance of christine shusho nipe macho on the grove awards

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...