Friday, April 27, 2012

Sikiliza Walichokisema Emmanuel Mabisa na Rulea Sanga baada ya kutoka Nigeria kwa Tb Joshua.



Emmanuel Mabisa na Rulea Sanga hivi karibuni walipata Bahati ya kupata Mwaliko maalumu kutoka kwa Nabii  Tb Joshua hasa baada ya Tb Joshua kuona Ghraphics Pictures ambazo Rulea Sanga alizifanya na kuziweka kwenye Blog yake iitwayo Rumaafrika.Watumishi hawa siku mbili zilizopita   wamerejea nchini kutoka Lagos Nigeria na Hosanna Inc ilipata nafasi ya kufanya mahojiano nao. 

Unaweza kuwasikiliza hapa chini juu ya safari yao nzima toka wanaondoka nchini hadi wanarudi.

Rulea Sanga akiwa katika uwanja wa ndege wa Ethiopia wakati wakielekea nchini Nigeria

Emmanuel Mabisa akiwa nchini Nigeria katika kanisa la Tb Joshua na hapa ni PRAYERS LINE ambapo Wise Men pamoja na Nabii TB Joshua hufanyia Maombezi



No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...